"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA 22.06.2024

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2, VINATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WOTE WA PWANI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI NA MTWARA) PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA), MWAMBAO WA ZIWA VICTORIA (MIKOA YA MWANZA, MARA, SIMIYU, GEITA NA KAGERA) NA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA (MIKOA YA KIGOMA,RUKWA NA KATAVI)

Imewekwa: Jun 22, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 21.06.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 21.06.2024, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.

Imewekwa: Jun 21, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 21.06.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 21.06.2024, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.

Imewekwa: Jun 21, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 20.06.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 20.06.2024, unawasilishwa na mchambuzi Godfrey Kazinja.

Imewekwa: Jun 20, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 19.06.2024

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2, VINATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WOTE WA PWANI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI NA MTWARA) PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA).

Imewekwa: Jun 19, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 18.06.2024

ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa Pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).

Imewekwa: Jun 18, 2024