Albamu ya Video
HALI YA HEWA TANZANIA 17.04.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 17.04.2024, unawasilishwa na mchambuzi Tunza Sanane.
Imewekwa: Apr 17, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 16-04-2024
ANGALIZO: 1. VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA DAR ES SALAAM, TANGA, MOROGORO, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI, MTWARA PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA 2. UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WA PWANI YA BAHARI YA HINDI MIKOA YA DAR ES SALAAM, TANGA, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI, MTWARA PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA
Imewekwa: Apr 16, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 15-04-2024
ANGALIZO la mvua kubwa imetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Dar es salaam, Tanga, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Imewekwa: Apr 15, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 14.04.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 14.04.2024, unawasilishwa na mchambuzi Tabu Kwedilima.
Imewekwa: Apr 14, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 13.04.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 13.04.2024, unawasilishwa na mchambuzi Tabu Kwedilima.
Imewekwa: Apr 13, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 12.04.2024
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa katika maeneo machache ya Mikoa ya Morogoro, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara. ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya kusini ya bahari ya Hindi (mikoa ya Lindi na Mtwara).
Imewekwa: Apr 12, 2024