"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua inatarajiwa katika Mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza.

Imewekwa: Jun 23, 2025

VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote.

Imewekwa: Jun 22, 2025

VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA VINATARAJIWA KWA BAAADHI YA MAENEO YA UKANDA WOTE WA PWANI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA LINDI, MTWARA, TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA) PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA).

Imewekwa: Jun 21, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua katika Mikoa ya Kagera, Mara, Geita, Mwanza na Simiyu.

Imewekwa: Jun 20, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua katika Mikoa ya Kagera, Mara, Geita, Mwanza, Shinyanga na Simiyu.

Imewekwa: Jun 19, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 18.06.2025

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote; Kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kusini.

Imewekwa: Jun 18, 2025