"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA

ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ukanda wa ziwa Nyasa (mikoa ya Mbeya, Njombe na Ruvuma).

Imewekwa: Sep 30, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa kiasiHali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa kiasi

Imewekwa: Sep 29, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo

Imewekwa: Sep 28, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo

Imewekwa: Sep 27, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa kiasi.

Imewekwa: Sep 26, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote; Kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa kiasi.

Imewekwa: Sep 25, 2025