Albamu ya Video
UTABIRI WA HALI YA HEWA TANZANIA 24.09.2025
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi madogo hadi Makubwa kiasi.
Imewekwa: Sep 24, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Imewekwa: Sep 23, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Imewekwa: Sep 22, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Imewekwa: Sep 21, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa Kiasi.
Imewekwa: Sep 20, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa ziwa Viktoria (mikoa ya Kagera, Geita, Mara, Mwanza na Simiyu).
Imewekwa: Sep 19, 2025
