"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA 26.08.2024

ANGALIZO la mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya kaskazini ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).

Imewekwa: Aug 26, 2024

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO 25/08/2024.

ANGALIZO: MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 YANATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WA PWANI YA KASKAZINI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA)

Imewekwa: Aug 25, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 24.08.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 24.08.2024, unawasilishwa na mchambuzi Rebeca Luhitana.

Imewekwa: Aug 24, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 24.08.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 24.08.2024, unawasilisshwa na mchambuzi Rebeca Luhitana.

Imewekwa: Aug 24, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 23.08.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 23.08.2024, unawasilishwa na mchambuzi Desdery Moses.

Imewekwa: Aug 23, 2024

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO 22/08/2024.

ANGALIZO: MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKA MITA 2 YANATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WA PWANI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA DAR ES SALAAM, TANGA, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI NA MTWARA PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA).

Imewekwa: Aug 22, 2024