Albamu ya Video
UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 09.04.2025
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote; kutoka Kusini Mahariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Imewekwa: Apr 08, 2025
UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 08.04.2025
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote; kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Imewekwa: Apr 07, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 07.04.2025
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kigoma, Tabora na Katavi.
Imewekwa: Apr 06, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 06.04.2025
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kigoma, Tabora na Katavi.
Imewekwa: Apr 06, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 06.04.2025
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kigoma, Tabora na Katavi.
Imewekwa: Apr 06, 2025
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE:05/04/2025
ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA KAGERA, GEITA, MWANZA, SHINYANGA, SIMIYU, MARA, ARUSHA, KILIMANJARO, MANYARA, TABORA, KIGOMA, KATAVI, TANGA, DAR ES SALAAM, MOROGORO, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA) PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.
Imewekwa: Apr 05, 2025
