Albamu ya Video
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 19/01/2025.
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya Km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Kutoka Kaskazini Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa Pwani ya Kusini.
Imewekwa: Jan 19, 2025
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 17-01-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 17.01.2025, unawasilishwa na mchambuzi Godfrey Kazinja.
Imewekwa: Jan 17, 2025
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 16-01-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 16.01.2025, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.
Imewekwa: Jan 16, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 15.01.2025
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya Km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Kutoka Kaskazini Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa Pwani ya Kusini
Imewekwa: Jan 15, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 14.01.2025
ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 VINATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WOTE WA PWANI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI, MTWARA, PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA).
Imewekwa: Jan 14, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 14.01.2025
ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 VINATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WOTE WA PWANI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI, MTWARA, PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA).
Imewekwa: Jan 14, 2025