Albamu ya Video
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 24-01-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 24.01.2025, unawasilishwa na mchambuzi Rebeca William.
Imewekwa: Jan 24, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 23.01.2025
ANGALIZO LA VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WOTE WA PWANI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI, MTWARA, PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA)
Imewekwa: Jan 23, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 22.01.2025
Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vifupi vya jua katika mikoa ya Rukwa, Iringa, Ruvuma, Songwe, Njombe na Mbeya.
Imewekwa: Jan 22, 2025
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 21-01-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 21.01.2025, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.
Imewekwa: Jan 21, 2025
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 20-01-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 20.01.2025, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.
Imewekwa: Jan 20, 2025
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 19/01/2025.
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya Km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Kutoka Kaskazini Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa Pwani ya Kusini.
Imewekwa: Jan 19, 2025