"

Albamu ya Video

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 24.03.2025

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.

Imewekwa: Mar 24, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 23.03.2025

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote.

Imewekwa: Mar 23, 2025

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 22-03-2025

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 22.03.2025, unawasilishwa na mchambuzi Ramadhani Omary.

Imewekwa: Mar 22, 2025

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 21-03-2025

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 21.03.2025, unawasilishwa na mchambuzi Mohamed Hamis.

Imewekwa: Mar 21, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 20.03.2025

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kigoma, Katavi, Tabora na Rukwa.

Imewekwa: Mar 20, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 19.03.2025

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA RUKWA, KIGOMA, KATAVI, TABORA, BUKOBA, MUSOMA, GEITA, MWANZA, SHINYANGA NA SIMIYU.

Imewekwa: Mar 19, 2025