Albamu ya Video
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 03/02/2025.
ANGALIZO: 1. VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA NYANDA ZA JUU KUSINI MAGHARIBI (MIKOA YA RUKWA, MBEYA, SONGWE, IRINGA NA NJOMBE), KUSINI MWA NCHI (MKOA WA RUVUMA) NA KUSINI MWA MKOA WA MOROGORO. 2. VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KILOMITA 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA PWANI YOTE YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, LINDI, MTWARA, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA) PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.
Imewekwa: Feb 03, 2025
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 02-02-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 02.02.2025, unawasilishwa na mchambuzi Mohamed Hamis.
Imewekwa: Feb 02, 2025
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 01-02-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 01.02.2025, unawasilishwa na mchambuzi Desdery Moses.
Imewekwa: Feb 01, 2025
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 30/01/2025.
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma Kutoka Kaskazini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini Magharibi kwa kasi ya km 20 kwa kwa Pwani ya Kusini.
Imewekwa: Jan 30, 2025
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 30/01/2025.
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma Kutoka Kaskazini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini Magharibi kwa kasi ya km 20 kwa kwa Pwani ya Kusini.
Imewekwa: Jan 30, 2025
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 30/01/2025.
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma Kutoka Kaskazini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini Magharibi kwa kasi ya km 20 kwa kwa Pwani ya Kusini
Imewekwa: Jan 30, 2025