Albamu ya Video
HALI YA HEWA TANZANIA 13.02.2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 13.02.2025, unawasilishwa na mchambuzi Ramadhani Omary.
Imewekwa: Feb 13, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 12.02.2025
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote; kutoka Kaskazini Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa kiasi.
Imewekwa: Feb 12, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 11.02.2025
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.
Imewekwa: Feb 11, 2025
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 10-02-2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 10.02.2025, unawasilishwa na mchambuzi Mohamed Hamis.
Imewekwa: Feb 10, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 10.02.2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuazia saa 3:00 usiku, unawasilishwa na mchambuzi Ramadhani Omary.
Imewekwa: Feb 09, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA 10.02.2025
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuazia saa 3:00 usiku, unawasilishwa na mchambuzi Ramadhani Omary.
Imewekwa: Feb 09, 2025