"

Albamu ya Video

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 10.03.2025

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3 usiku wa leo 10.03.2025 unaletwa kwenu na Mchambuzi wa Hali ya Hewa; Mohamed Hamisi.

Imewekwa: Mar 11, 2025

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 09-03-2025

Utabiri wa halinya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.

Imewekwa: Mar 09, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 08.03.2025

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA TABORA, KIGOMA, KATAVI, SINGIDA, DODOMA, SIMIYU, MARA, ARUSHA, KILIMANJARO NA MANYARA.

Imewekwa: Mar 08, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 07.03.2025

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo.

Imewekwa: Mar 07, 2025

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 06-03-2025

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.

Imewekwa: Mar 06, 2025

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 05-03-2025

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 05.03.2025, unawasilishwa na mchambuzi Ramadhani Omary.

Imewekwa: Mar 05, 2025