"

Albamu ya Video

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO 06.07.2025

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote; kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kusini.

Imewekwa: Jul 06, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 05/07/2025.

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 VINATARAJIWA KWA BAAADHI YA MAENEO YA UKANDA WA PWANI YA KASKAZINI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA) PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA).

Imewekwa: Jul 05, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

ANGALIZO la mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya kaskazini mwa bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).

Imewekwa: Jul 04, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

ANGALIZO la mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya kaskazini mwa bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).

Imewekwa: Jul 03, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya kusini mwa bahari ya Hindi (mikoa ya Lindi na Mtwara).

Imewekwa: Jul 02, 2025

VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALIUNAOFIKIA KM 40 KWA SAA

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA UPEPO MKALIUNAOFIKIA KM 40 KWA SAA VINATARAJIWA KWA BAAADHI YA MAENEO YA UKANDA WA PWANI YA KUSINI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA LINDI NA MTWARA).

Imewekwa: Jul 01, 2025