"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA 01.02.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, unawasilishwa na mchambuzi Godfrey Kazinja.

Imewekwa: Feb 01, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 31.01.2024

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa katika maeneo machache ya Mikoa ya Morogoro, Lindi, Mtwara, Iringa,Mbeya, Songwe, Njombe na Ruvuma

Imewekwa: Jan 31, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 29.01.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, unawasilishwa na mchambuzi Magreth Massawe.

Imewekwa: Jan 29, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 28.01.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, 28.01.2024 unawasilishwa na mchambuzi Ramadhani Omary.

Imewekwa: Jan 28, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 27.01.2024

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA MTWARA, LINDI, RUVUMA, SONGWE, MBEYA, IRINGA, NJOMBE NA MOROGORO.

Imewekwa: Jan 27, 2024

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 27-01-2024

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa katika maeneo machache ya Mikoa ya Morogoro, Lindi, Mtwara, Iringa, Njombe na Ruvuma.

Imewekwa: Jan 27, 2024