Albamu ya Video
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 25-01-2024
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo, na mchambuzi Godfrey Kazinja
Imewekwa: Jan 25, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa 24-01-2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 24.01.2024, unawasilishwa na mchambuzi Tunza Sanane.
Imewekwa: Jan 24, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 23-01-2024
Kuendelea kwa mvua katika baadhi ya maeneo.
Imewekwa: Jan 23, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 22-01-2024
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa katika maeneo machache ya Mikoa ya Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Morogoro, Lindi, Mtwara, Njombe na Ruvuma. ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Lindi, Mtwara, Dar es salaam, Tanga, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).
Imewekwa: Jan 22, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 22-01-2024
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa katika maeneo machache ya Mikoa ya Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Morogoro, Lindi, Mtwara, Njombe na Ruvuma. ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Lindi, Mtwara, Dar es salaam, Tanga, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).
Imewekwa: Jan 22, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 21.01.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, unawasilishwa na mchambuzi Mohamed Hamis.
Imewekwa: Jan 21, 2024