Albamu ya Video
HALI YA HEWA TANZANIA 18.06.2024
ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa Pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).
Imewekwa: Jun 18, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 17.06.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 17.06.2024, unawasilishwa na mchambuzi Tunza Sanane.
Imewekwa: Jun 17, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 16.06.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 16.06.2024, unawasilishwa na mchambuzi Amina Salehe.
Imewekwa: Jun 16, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 14.06.2024
ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa Pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba).
Imewekwa: Jun 14, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 13.06.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 13.06.2024, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.
Imewekwa: Jun 13, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 12.06.2024
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, 12.06.2024, unawasilishwa na mchambuzi Mariam Phares.
Imewekwa: Jun 12, 2024