"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Morogoro, Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Imewekwa: Apr 22, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Morogoro, Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Imewekwa: Apr 22, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 21/04/2025.

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kusini.

Imewekwa: Apr 21, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 20/04/2025.

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Kagera, Geita, Mara, Simiyu, Mwanza na Shinyanga.

Imewekwa: Apr 20, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Hali ya mawingu , mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vifupi vya jua katika mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Tabora, Kigoma, Katavi.

Imewekwa: Apr 19, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote. Kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na Kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa Kiasi.

Imewekwa: Apr 18, 2025