Albamu ya Video
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 28/04/2025.
ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), MTWARA NA LINDI PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.
Imewekwa: Apr 28, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi, Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Imewekwa: Apr 27, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi, Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Imewekwa: Apr 27, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua katika mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma, Tabora, Katavi, Pwani region (ikijumuisha Visiwa vya Mafia), Lindi, Tanga, Dar es Salaam, Ruvuma, Morogoro na Mtwara pamoja na Visiwa vya Unguja na Pemba
Imewekwa: Apr 26, 2025
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 25/04/2025.
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote; kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Imewekwa: Apr 25, 2025
HALI YA HEWA TANZANIA
ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
Imewekwa: Apr 23, 2025