"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA 10.04.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 10.04.2024, unawasilishwa na mchambuzi Tunza Sanane.

Imewekwa: Apr 10, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 09.04.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 09.04.2024, unawasilishwa na mchambuzi Godfrey Kazinja.

Imewekwa: Apr 09, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 08.04.2024

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa katika maeneo machache ya Mikoa ya Dar es salaam, Tanga, Morogoro, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi, Mtwara, Kagera, Geita, Mwanza, Mara, Simiyu, Shinyanga, Arusha and Manyara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Imewekwa: Apr 08, 2024

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 07-04-2024

ANGALIZO: VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA MIKOA YA DAR ES SALAAM, TANGA, MOROGORO, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), LINDI, MTWARA, KAGERA, GEITA, MWANZA, MARA, SIMIYU, SHINYANGA, KIGOMA, TABORA NA KATAVI PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.

Imewekwa: Apr 07, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 06.04.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 06.04.2024, unawasillishwa na mchambuzi Tabu Kwedilima.

Imewekwa: Apr 06, 2024

HALI YA HEWA TANZANIA 05.04.2024

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 05.04.2024, unawasilishwa na mchambuzi Noel Mlay.

Imewekwa: Apr 05, 2024