24 Forecast
24 Forecast
HALI YA HEWA TANZANIA
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini na kutoka Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo hadi Makubwa Kiasi.

