10 Days Forecast
MUHTASARI WA MWENENDO WA MVUA KWA TAREHE 11-20 MACHI, 2026 NA MATARAJIO YA MVUA KWA TAREHE 21-31 MACHI, 2026.
MWELEKEO WA MVUA KWA TAREHE 21-31 MACHI, 2026.
Kanda ya ziwa Victoria (Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara): Vipidindi vya mvua kubwa zinazoambatana na ngurumo za radi vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Nyanda za juu kaskazini-mashariki (Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro): Vipidindi vya mvua kubwa zinazoambatana na ngurumo za radi vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Pwani ya kaskazini (Mikoa ya Tanga, Maeneo ya kaskazini mwa Morogoro, Pwani na Dar es Salaam pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba): Vipidindi vya mvua kubwa zinazoambatana na ngurumo za radi vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Magharibi mwa nchi (Mikoa ya Kigoma, Katavi na Tabora): Vipidindi vya mvua kubwa zinazoambatana na ngurumo za radi vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Kanda ya kati (Mikoa ya Dodoma na Singida): Mvua zinazoambatana na ngurumo za radi zinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Nyanda za juu Kusini-magharibi (Mikoa ya Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Iringa): Mvua zinazoambatana na ngurumo za radi zinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Pwani ya kusini (Mikoa ya Mtwara na Lindi): Vipidindi vya mvua kubwa zinazoambatana na ngurumo za radi vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Kanda ya kusini (Mkoa wa Ruvuma na Maeneo ya kusini mwa Morogoro): Mvua zinazoambatana na ngurumo za radi zinatarajiwa katika baadhi ya maeneo.
Kwa taarifa zaidi tafadhali pakua

