"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo

Imewekwa: Aug 08, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo

Imewekwa: Aug 05, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo

Imewekwa: Aug 04, 2025

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO 03.08.2025, UNALETWA KWENU NA MCHAMBUZI WETU WA MIFUMO YA HALI YA HEWA MS. MARIAM PHARES

Imewekwa: Aug 03, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

1.TAHADHARI ya upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayozidi mita 2, imetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba). 2. ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa ziwa Nyasa (mikoa ya Mbeya, Njombe na Ruvuma), ukanda wa ziwa Tanganyika na Rukwa (mikoa ya Katavi, Rukwa na Songwe).

Imewekwa: Aug 02, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

ADVISORY of strong winds reaching 40km/hr and large waves reaching 2m is issued for some areas along the entire coast of Indian ocean (Tanga, Dar es salaam, Lindi, Mtwara and Pwani (including Mafia isles) regions together with Unguja and Pemba isles) and Lake Nyasa (Ruvuma, Njombe and Mbeya regions).

Imewekwa: Aug 01, 2025