"

Albamu ya Video

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kaskazini Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi madogo.

Imewekwa: Nov 16, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote; kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kaskazini Mashariki kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi madogo.

Imewekwa: Nov 15, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote.

Imewekwa: Nov 14, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya mikoa ya Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya na Njombe.

Imewekwa: Nov 13, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani yote. Kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo hadi Makubwa Kiasi.

Imewekwa: Nov 12, 2025

HALI YA HEWA TANZANIA

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini. Hali ya Bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo hadi Makubwa Kiasi.

Imewekwa: Nov 11, 2025