Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

ISO 9001:2015 Imethibitishwa Kutoa Huduma za Hali ya Hewa kwenye Usafiri wa Anga

Huduma Zetu

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa utabiri wa hali ya hewa wa kila siku, takwimu, tafiti na huduma za ushauri. Huduma zetu ni muhimu katika kulinda maisha, miundombinu na mazingira ya nchi. Gundua namna tunavyoweza kukusaidia kusimamia hatari zinazohusiana na hali ya hewa na tabianchi, na pia kutambua fursa kwa shughuli zako za kila siku.