Habari

Imewekwa: Mar, 19 2023

UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU

UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU

Mamlaka imenunua seti tano (5) za vifaa vya utambuzi wa matukio ya radi (Lighting detectors) ambavyo vimetfungwa katika maeneo ya Musoma, Mwanza, Bukoba, Tabora na Kibondo mkoani Kigoma.


#MiwilinaSamia