Albamu ya Video
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 27-04-2021
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 27-04-2021 unaletwa na mchambuzi Tunza Sanane.
Imewekwa: Apr 27, 2021
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 27-04-2021
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 27-04-2021 unaletwa na mchambuzi Tunza Saanane.
Imewekwa: Apr 27, 2021
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 26/04/2021.
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku 26/04/2021 umeletwa na mchambuzi Thereza Ngassa.
Imewekwa: Apr 26, 2021
MWENENDO WA KILICHOKUWA KIMBUNGA “JOBO”
Mwenendo wa kimbunga hafifu “Jobo” unaonesha kuwa katika kipindi cha saa sita zilizopita “Jobo” imepoteza nguvu yake wakati kikiingia nchi kavu kusini mwa mkoa wa Pwani na Dar Es Salaam usiku wa tarehe 24/04/2021. Hali hii ilisababishwa na kuendelea kuimarika kwa upepo kinzani katika mwelekeo wa kimbunga hicho.
Imewekwa: Apr 25, 2021
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 25/04/2021.
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo 25/04/2021 umeletwa na mchambuzi Happiness Mpunza
Imewekwa: Apr 25, 2021
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 24-04-2021
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo 24/04/2021 umeletwa na mchambuzi Happiness Mpunza.
Imewekwa: Apr 24, 2021