Albamu ya Video
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO TAREHE: 05/10/2024. [
ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani yote ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara) pamoja na Visiwa vya Unguja na Pemba na ukanda wa ziwa Nyasa (mikoa ya Mbeya, Njombe na Ruvuma).
Imewekwa: Oct 05, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 05.10.2024
ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani yote ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara) pamoja na Visiwa vya Unguja na Pemba na ukanda wa ziwa Nyasa (mikoa ya Mbeya, Njombe na Ruvuma).
Imewekwa: Oct 05, 2024
HALI YA HEWA TANZANIA 04.04.2024
TAHADHARI: VIPINDI VYA UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2 VINATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WA PWANI YA KUSINI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA LINDI NA MTWARA) . ANGALIZO: VIPINDI VYA UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2 VINATARAJIWA KWA BAADHI YA MAENEO YA UKANDA WA PWANI YA KASKAZINI YA BAHARI YA HINDI (MIKOA YA TANGA, DAR ES SALAAM, PWANI (IKIJUMUISHA VISIWA VYA MAFIA), PAMOJA N AVISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA), UKANDA WA KUSINI MWA ZIWA TANGANYIKA (MIKOA YA KATAVI NA RUKWA) PAMOJA NA MAENEO YA UKANDA WA ZIWA NYASA (MIKOA YA NJOMBE NA RUVUMA.
Imewekwa: Oct 04, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 03-10-2024
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Imewekwa: Oct 03, 2024
Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo 02-10-2024
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Imewekwa: Oct 02, 2024
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO 01/10/2024.
HAKUNA TAHADHARI .
Imewekwa: Oct 01, 2024