Machapisho

MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA VULI (OKTOBA – DISEMBA, 2022) KWA MKOA WA ARUSHA

Pakua

Kwa ujumla mvua za Chini ya wastani hadi wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Arusha.  Mvua zinatarajiwa kuanza kati ya wiki ya nne ya mwezi Oktoba na wiki ya kwanza ya mwezi Novemba, 2022.  Mvua zinatarajiwa kuisha Januari, 2023.  Vipindi vya ukavu vya siku kumi (10) au zaidi vinatarajiwa katika msimu huu wa Vuli.

Kwa taarifa zaidi tafadhali pakua