Machapisho

MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA VULI (OKTOBA – DISEMBA, 2022) KWA MKOA WA DAR ES SALAAM

Pakua

Kwa ujumla mvua za Chini ya Wastani hadi Wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Dar es Salaam. • Mvua zinatarajiwa kuanza kati ya wiki ya nne ya Oktoba na wiki ya kwanza ya Novemba, 2022. • Mvua zinatarajiwa kuisha Januari, 2023. • Vipindi virefu vya ukavu vya siku kumi (10) au zaidi vinatarajiwa katika msimu huu wa Vuli.

Kwa taarifa zaidi tafadhali pakua