Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

ISO 9001:2015 Imethibitishwa Kutoa Huduma za Hali ya Hewa kwenye Usafiri wa Anga

Sera ya Mfumo wa Ubora

Sisi, wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) tumedhamiria kutoa huduma bora za hali ya hewa zinazokidhi au kuzidi matarajio ya wateja wetu na zinazozingatia miongozo ya kitaifa na kimataifa iliyokubalika, kwa kuendelea kuboresha taratibu zetu za kazi’