Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

ISO 9001:2015 Imethibitishwa Kutoa Huduma za Hali ya Hewa kwenye Usafiri wa Anga

Downscale Forecast

Mwelekeo wa mvua za Vuli (OND) 2026 kwa mkoa wa Manyara na wilaya zake

Dondoo

  1. Msimu wa mvua za Vuli, 2026 unatarajiwa kuathiriwa kwa kiwango kikubwa na hali ya El Niño yenye nguvu kubwa.
  2. Kwa ujumla mvua za Juu ya Wastani hadi Wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Manyara.
  3. Mvua zinatarajiwa kuanza wiki ya kwanza na ya pili ya mwezi Oktoba, 2026.
  4. Mvua zinatarajiwa kuendelea hadi mwezi Januari, 2027.
  5. Upo uwezekano wa kutokea vipindi vya ukavu vya siku kumi (10) au zaidi katika msimu huu wa Vuli.

Kwa taarifa zaidi tafadhali pakua