Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa tatu usiku wa leo 15-12-2019 unawasilishwa na mchambuzi Akili Mwangaza.
NDJFMA 2019/2020 ENG
NDJFMA 2019/2020
Mvua za msimu wa Vuli, 2019
Maeneo yanayozunguka ukanda wa Ziwa Viktoria (Mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara) yanatarajiwa kuwa na mvua za wastani hadi juu ya wastani.
Maeneo mengine yaliyosalia (Pwani ya Kaskazini pamoja na Nyanda za juu kaskazini.
Mashariki), mvua zinatarajiwa kuwa za wastani hadi chini ya wastani.
Maeneo ya ukanda wa Ziwa Viktoria mvua zinatarajiwa kuanza katika wiki ya pili ya mwezi Oktoba, 2019 isipokuwa maeneo machache ya mkoa wa Kagera ambapo vipindi vya mvua za nje ya msimu zilizoanza toka mwezi Agosti 2019, vinatarajiwa kuendelea na hivyo kuungana na kuanza kwa msimu wa mvua za Vuli.
Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania inatoa huduma zenye ubora wa kimataifa katika usafiri wa Anga
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi awa mwenyeji wa Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Prof. Petteri Talaas alipotembelea Mamlaka ya Hali ya Hewa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania